Swali: Ni ipi hukumu mwenye kuhiji akifika Muzdalifah kabla ya adhaana ya ´Ishaa? Je, acheleweshe Maghrib mpaka wakati wa ´Ishaa…
Jibu: Hapana, hapana. Pale tu atapofika aswali hata kama haujaingia wakati wa ´Ishaa. Hakuna neno.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (22) https://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/umdatul-26-3-1435.mp3
- Imechapishwa: 17/03/2020
Swali: Ni ipi hukumu mwenye kuhiji akifika Muzdalifah kabla ya adhaana ya ´Ishaa? Je, acheleweshe Maghrib mpaka wakati wa ´Ishaa…
Jibu: Hapana, hapana. Pale tu atapofika aswali hata kama haujaingia wakati wa ´Ishaa. Hakuna neno.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (22) https://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/umdatul-26-3-1435.mp3
Imechapishwa: 17/03/2020
https://firqatunnajia.com/pale-tu-atapofika-muzdalifah/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)