Swali: Mimi nina mtoto amezaliwa akiwa na vidole sita kwenye kitanga chake kimoja. Daktari ameona kuwa kuna muumbuko na hivyo kunahitajika kuondoa kile kidole kilichozidi kwa kufanyiwa operesheni. Ni ipi hukumu ya Shari´ah juu ya kuondosha kidole hichi?
Jibu: Hakuna neno kufanya hivo. Ni sawa kuodoa muumbuko ikiwa hilo halipelekei kumletea mtu madhara na wala hakuna khatari. Bali ndivyo inavyotakiwa.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (6) http://alfawzan.af.org.sa/node/14379
- Imechapishwa: 25/11/2016
Swali: Mimi nina mtoto amezaliwa akiwa na vidole sita kwenye kitanga chake kimoja. Daktari ameona kuwa kuna muumbuko na hivyo kunahitajika kuondoa kile kidole kilichozidi kwa kufanyiwa operesheni. Ni ipi hukumu ya Shari´ah juu ya kuondosha kidole hichi?
Jibu: Hakuna neno kufanya hivo. Ni sawa kuodoa muumbuko ikiwa hilo halipelekei kumletea mtu madhara na wala hakuna khatari. Bali ndivyo inavyotakiwa.
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (6) http://alfawzan.af.org.sa/node/14379
Imechapishwa: 25/11/2016
https://firqatunnajia.com/operesheni-kwa-ajili-ya-kuondosha-kidole-kilichozidi/
Mshirikishe mwenzako:
- Share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Print (Opens in new window) Print
- Email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Share on X (Opens in new window) X
- Share on Pocket (Opens in new window) Pocket