Swali: Akihuisha usiku wake[1], ina maana kwamba Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) hakuwa akilala katika siku za kumi za mwisho?
Jibu: Ndio, hiyo ndio maana yake; ni kwamba alikuwa akihuisha usiku wake kwa kusoma Qur-aan, kuswali na kufanya du´aa.
[1] ´Aaishah (Radhiya Allaahu ´anhaa) amesimulia:
“Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) alikuwa akijitahidi katika zile nyusiku za mwisho za Ramadhaan kuliko anavyojitahidi katika nyusiku zengine.”
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/25443/ما-معنى-احيا-ليله-في-الحديث
- Imechapishwa: 21/03/2025
Swali: Akihuisha usiku wake[1], ina maana kwamba Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) hakuwa akilala katika siku za kumi za mwisho?
Jibu: Ndio, hiyo ndio maana yake; ni kwamba alikuwa akihuisha usiku wake kwa kusoma Qur-aan, kuswali na kufanya du´aa.
[1] ´Aaishah (Radhiya Allaahu ´anhaa) amesimulia:
“Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) alikuwa akijitahidi katika zile nyusiku za mwisho za Ramadhaan kuliko anavyojitahidi katika nyusiku zengine.”
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/25443/ما-معنى-احيا-ليله-في-الحديث
Imechapishwa: 21/03/2025
https://firqatunnajia.com/nyusiku-za-mtume-katika-kumi-la-mwisho/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Click to print (Opens in new window) Print
- Click to email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Click to share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Click to share on X (Opens in new window) X
- Click to share on Pocket (Opens in new window) Pocket
