Swali: Muislamu mwenye kuishi katika nchi hii ni lazima afuatilie namna nyama zinavyochinjwa na kama mchinjaji anaswali au haswali?
Jibu: Nyama zinazochinjwa katika miji ya Kiislamu na kuuzwa katika masoko ya waislamu ni halali. Usifuatilie, usiulize. Huku ni kujikakama.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Fath-il-Majiyd (32) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/fathul%20majid%20%20-%203-11-%201436.mp3
- Imechapishwa: 12/02/2017
Swali: Muislamu mwenye kuishi katika nchi hii ni lazima afuatilie namna nyama zinavyochinjwa na kama mchinjaji anaswali au haswali?
Jibu: Nyama zinazochinjwa katika miji ya Kiislamu na kuuzwa katika masoko ya waislamu ni halali. Usifuatilie, usiulize. Huku ni kujikakama.
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Fath-il-Majiyd (32) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/fathul%20majid%20%20-%203-11-%201436.mp3
Imechapishwa: 12/02/2017
https://firqatunnajia.com/nyama-katika-miji-ya-kiislamu-ni-halali/