Swali: Una nasaha zozote kuwapa wale ambao wanajishughulisha sana na njia za mawasiliano?
Jibu: Usijishughulishe na njia za mawasiliano. Vinakushughulisha na kazi yako, masomo yako na mambo mengine yenye faida. Achana nazo. Ni mambo yasiyokuwa na faida. Bali ndani yake kuna madhara.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: al-Liqaa’ al-Maftuuh fiy Masjid Qubaa’ http://alfawzan.af.org.sa/ar/node/17626
- Imechapishwa: 27/02/2018
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)