Swali: Ni ipi njia sahihi ya kuwalea watoto wetu juu ya Tawhiyd na vipi tutawafikishia hilo?
Jibu: Himdi zote ni za Allaah. Walee watoto wako kwa kuhifadhi Qur-aan Tukufu, wapeleke katika masomo ya Qur-aan, walee juu ya vitabu vya Tawhiyd na vya ´Aqiydah ambavyo vinasomeshwa kwenye Misikiti. Wahifadhishe “Thalaathat-il-Usuwl”, “Qawaa´iyd al-Arbaa´ na “Kashf-ush-Shubuhaat”. Hivi ni vitabu vya msingi. Wasomeshe vilevile Tawhiyd na uwapeleke kwenye Misikiti na katika mizunguko ya darsa na elimu.
- Muhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajhiy
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: http://subulsalam.com/play.php?catsmktba=4716
- Imechapishwa: 01/05/2015
Swali: Ni ipi njia sahihi ya kuwalea watoto wetu juu ya Tawhiyd na vipi tutawafikishia hilo?
Jibu: Himdi zote ni za Allaah. Walee watoto wako kwa kuhifadhi Qur-aan Tukufu, wapeleke katika masomo ya Qur-aan, walee juu ya vitabu vya Tawhiyd na vya ´Aqiydah ambavyo vinasomeshwa kwenye Misikiti. Wahifadhishe “Thalaathat-il-Usuwl”, “Qawaa´iyd al-Arbaa´ na “Kashf-ush-Shubuhaat”. Hivi ni vitabu vya msingi. Wasomeshe vilevile Tawhiyd na uwapeleke kwenye Misikiti na katika mizunguko ya darsa na elimu.
Muhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajhiy
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: http://subulsalam.com/play.php?catsmktba=4716
Imechapishwa: 01/05/2015
https://firqatunnajia.com/njia-sahihi-ya-kuwafanya-watoto-waijue-tawhiyd-2/