Swali 438: Mwanamke ana mapambo ya dhahabu na mumewe ni fakiri. Je, auze mapambo yake ili ahiji?
Jibu: Hapana. Mapambo ya kawaida hayalazimiki kuuzwa, lakini ikiwa ni ya ziada anayoyahifadhi basi inalazimika. Haimlazimu mume kumhijisha mke wake kutoka katika mali yake.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Masaa-il-ul-Imaam Ibn Baaz, uk. 141
- Imechapishwa: 29/08/2025
- Mkusanyaji: Shaykh Abiy Muhammad ´Abdullaah bin Maaniy´
Swali 438: Mwanamke ana mapambo ya dhahabu na mumewe ni fakiri. Je, auze mapambo yake ili ahiji?
Jibu: Hapana. Mapambo ya kawaida hayalazimiki kuuzwa, lakini ikiwa ni ya ziada anayoyahifadhi basi inalazimika. Haimlazimu mume kumhijisha mke wake kutoka katika mali yake.
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Masaa-il-ul-Imaam Ibn Baaz, uk. 141
Imechapishwa: 29/08/2025
Mkusanyaji: Shaykh Abiy Muhammad ´Abdullaah bin Maaniy´
https://firqatunnajia.com/niuze-mapambo-yangu-ili-nihiji/