Swali: Wakati fulani naalikwa na ndugu zangu na tunatumia chakula. Anaadhini mwadhini. Je, nisimame katikati ya chakula na kwenda msikitini au niketi nao na niendelee kula kwa lengo la kubainisha kuwa dini ni nyepesi?
Jibu: Kamilisha chakula chenu cha jioni na baadaye swalini. Swalah ya mkusanyiko ikiwapiteni basi swalini nyumbani.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (106) https://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/ighatoul%20lahfan-%2027-03-1441.mp3
- Imechapishwa: 23/09/2020
Swali: Wakati fulani naalikwa na ndugu zangu na tunatumia chakula. Anaadhini mwadhini. Je, nisimame katikati ya chakula na kwenda msikitini au niketi nao na niendelee kula kwa lengo la kubainisha kuwa dini ni nyepesi?
Jibu: Kamilisha chakula chenu cha jioni na baadaye swalini. Swalah ya mkusanyiko ikiwapiteni basi swalini nyumbani.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (106) https://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/ighatoul%20lahfan-%2027-03-1441.mp3
Imechapishwa: 23/09/2020
https://firqatunnajia.com/nisimamishe-chakula-na-kwenda-msikitini-au-niendelee/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)