Swali: Ni bora kumsikiliza mtoa mawaidha baada ya swalah au nianze moja kwa moja kuleta Dhikr zilizothibiti baada ya swalah?
Jibu: Unaweza kumsikiliza na huku unaleta Dhikr pasi na kunyanyua sauti yako. Katika hali hiyo utakuwa mwenye kujumuisha yote mawili.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: at-Tafsiyr al-Mufasswal (68) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/tf–1432-05-21.mp3
- Imechapishwa: 21/08/2020
Swali: Ni bora kumsikiliza mtoa mawaidha baada ya swalah au nianze moja kwa moja kuleta Dhikr zilizothibiti baada ya swalah?
Jibu: Unaweza kumsikiliza na huku unaleta Dhikr pasi na kunyanyua sauti yako. Katika hali hiyo utakuwa mwenye kujumuisha yote mawili.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: at-Tafsiyr al-Mufasswal (68) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/tf–1432-05-21.mp3
Imechapishwa: 21/08/2020
https://firqatunnajia.com/nisikilize-mawaidha-au-nilete-adhkaar/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)