3513- Qutaybah ametuhadithia: Ja´far bin Sulaymaan adh-Dhwuba´iy ametuhadithia, kutoka kwa Kahmas bin al-Hasan, kutoka kwa ´Abdullaah bin Buraydah, kutoka kwa ´Aaishah aliyesema:
“Ee Mtume wa Allaah! Nisemeje endapo nitajua usiku miongoni mwa nyusiku kwamba ndio usiku wa Qadar?” Akasema: “Sema:
اللَّهُمَّ إِنَّكَ عُفُوٌّ تُحِبُّ الْعَفْوَ فَاعْفُ عَنِّي
“Ee Allaah! Hakika Wewe ni Mwingi wa kusamehe na unapenda kusamehe. Hivyo basi, nisamehe.”[1]
[1] Swahiyh kwa mujibu wa al-Albaaniy katika “Swahiyh Sunan at-Tirmidhiy” (3513).
- Mhusika: Imaam Abu ´Iysaa Muhammad bin ´Iysaa at-Tirmidhiy
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: al-Jaami´ (3515)
- Imechapishwa: 14/05/2020
3513- Qutaybah ametuhadithia: Ja´far bin Sulaymaan adh-Dhwuba´iy ametuhadithia, kutoka kwa Kahmas bin al-Hasan, kutoka kwa ´Abdullaah bin Buraydah, kutoka kwa ´Aaishah aliyesema:
“Ee Mtume wa Allaah! Nisemeje endapo nitajua usiku miongoni mwa nyusiku kwamba ndio usiku wa Qadar?” Akasema: “Sema:
اللَّهُمَّ إِنَّكَ عُفُوٌّ تُحِبُّ الْعَفْوَ فَاعْفُ عَنِّي
“Ee Allaah! Hakika Wewe ni Mwingi wa kusamehe na unapenda kusamehe. Hivyo basi, nisamehe.”[1]
[1] Swahiyh kwa mujibu wa al-Albaaniy katika “Swahiyh Sunan at-Tirmidhiy” (3513).
Mhusika: Imaam Abu ´Iysaa Muhammad bin ´Iysaa at-Tirmidhiy
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: al-Jaami´ (3515)
Imechapishwa: 14/05/2020
https://firqatunnajia.com/niseme-nini-katika-usiku-wa-qadr/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)