Swali: Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Hajj yenye kukubaliwa aina malipo mengine isipokuwa Pepo.”
Ni ipi hajj yenye kukubaliwa?
Jibu: Hajj yenye kukubaliwa ni ile aliyoitekeleza kwa mujibu wa Sunnah na kwa ajili ya Allaah pekee. Ni ile hajj iliyotimiza masharti haya mawili:
1 – Iwe ameifanya kwa ajili ya Allaah pekee.
2 – Iwe ni yenye kuafikiana na Sunnah za Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam).
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: http://alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/02-02.mp3
- Imechapishwa: 20/11/2017
Swali: Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Hajj yenye kukubaliwa aina malipo mengine isipokuwa Pepo.”
Ni ipi hajj yenye kukubaliwa?
Jibu: Hajj yenye kukubaliwa ni ile aliyoitekeleza kwa mujibu wa Sunnah na kwa ajili ya Allaah pekee. Ni ile hajj iliyotimiza masharti haya mawili:
1 – Iwe ameifanya kwa ajili ya Allaah pekee.
2 – Iwe ni yenye kuafikiana na Sunnah za Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam).
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: http://alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/02-02.mp3
Imechapishwa: 20/11/2017
https://firqatunnajia.com/nini-makusudio-ya-hajj-yenye-kukubaliwa/