Swali: Ni nini maana ya neno mnafiki? Ni nani mtu Faasiq na Faajir?
Jibu: Mnafiki ni yule mtu ambaye anadhihirisha kheri na anaficha shari. Ikiwa anadhihirisha Uislamu na anaficha kufuru ni unafiki wa I´tiqaad ambao ni unafiki mkubwa. Na ikiwa anadhihirisha ´ibaadah na kupenda kheri na anaficha yasiyokuwa hayo ni unafiki mdogo ambao ni unafiki wa kimatendo. Amesema (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam):
“Alama za mnafiki ni tatu; akizungumza anasema uongo, akiahidi hatimizi na akiaminiwa anafanya khiyana.”
Haya yanapitika kwa muislamu. Lakini hata hivyo ni miongoni mwa sifa za wanafiki na ni jambo linalopunguza imani.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Duruus-ul-Haram http://www.alfawzan.af.org.sa/node/15208
- Imechapishwa: 28/06/2020
Swali: Ni nini maana ya neno mnafiki? Ni nani mtu Faasiq na Faajir?
Jibu: Mnafiki ni yule mtu ambaye anadhihirisha kheri na anaficha shari. Ikiwa anadhihirisha Uislamu na anaficha kufuru ni unafiki wa I´tiqaad ambao ni unafiki mkubwa. Na ikiwa anadhihirisha ´ibaadah na kupenda kheri na anaficha yasiyokuwa hayo ni unafiki mdogo ambao ni unafiki wa kimatendo. Amesema (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam):
“Alama za mnafiki ni tatu; akizungumza anasema uongo, akiahidi hatimizi na akiaminiwa anafanya khiyana.”
Haya yanapitika kwa muislamu. Lakini hata hivyo ni miongoni mwa sifa za wanafiki na ni jambo linalopunguza imani.
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Duruus-ul-Haram http://www.alfawzan.af.org.sa/node/15208
Imechapishwa: 28/06/2020
https://firqatunnajia.com/nini-maana-ya-mnafiki/