Swali: Analazimika mtu kufanya nini anapotokwa na manii ima kwa kufikiria au kwa kutazama? Je, anapata dhambi?
Jibu: Akitokwa na manii ghafla kwa matamanio basi ni wajibu kwake kuoga. Kwa sababu kutokwa na manii kunawajibisha kuoga. Ikiwa sio kwa kutaka kwake haidhuru.
- Muhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajihiy
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Fataawaa Mutanawwi´ah (05) http://audio.islamweb.net/audio/index.php?page=FullContent&audioid=191110#219240
- Imechapishwa: 09/11/2018
Swali: Analazimika mtu kufanya nini anapotokwa na manii ima kwa kufikiria au kwa kutazama? Je, anapata dhambi?
Jibu: Akitokwa na manii ghafla kwa matamanio basi ni wajibu kwake kuoga. Kwa sababu kutokwa na manii kunawajibisha kuoga. Ikiwa sio kwa kutaka kwake haidhuru.
Muhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajihiy
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Fataawaa Mutanawwi´ah (05) http://audio.islamweb.net/audio/index.php?page=FullContent&audioid=191110#219240
Imechapishwa: 09/11/2018
https://firqatunnajia.com/nini-kinachomuwajibikia-aliyetokwa-na-manii/