Swali: Karatasi zilizo na Basmalah zinapaswa kutupwa kwenye takataka au zinafanywa nini kwa sababu ni nyingi?
Jibu: Lifutwe na kuchanwa jina la Allaah au liteketezwe kikamilifu na inatosha kufanya hivo.
Swali: Vipi ikiwa litafutwa kwa kitu?
Jibu: Likifutwa inatosha.
Swali: Vipi kuhusu magazeti?
Jibu: Magazeti yahifadhiwe. Hapana neno akayahifadhi kwenye kabati au mahali pengine.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/22889/حكم-الاوراق-المهملة-التي-عليها-البسملة
- Imechapishwa: 28/05/2025
Swali: Karatasi zilizo na Basmalah zinapaswa kutupwa kwenye takataka au zinafanywa nini kwa sababu ni nyingi?
Jibu: Lifutwe na kuchanwa jina la Allaah au liteketezwe kikamilifu na inatosha kufanya hivo.
Swali: Vipi ikiwa litafutwa kwa kitu?
Jibu: Likifutwa inatosha.
Swali: Vipi kuhusu magazeti?
Jibu: Magazeti yahifadhiwe. Hapana neno akayahifadhi kwenye kabati au mahali pengine.
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/22889/حكم-الاوراق-المهملة-التي-عليها-البسملة
Imechapishwa: 28/05/2025
https://firqatunnajia.com/nini-cha-kufanya-makaratasi-mengi-yenye-jina-la-allaah/