Swali: Vipi mtu akiswali na akafanya vibaya katika swalah yake kwa ujinga?
Jibu: Ikiwa ni makosa yanayoiharibu basi airudie na ikiwa sio makosa yanayoiharibu atafunzwa na hatoirudia. Ikiwa makosa yanahusiana na nguzo, kama vile utulivu na mengineyo, afunzwe na kuirudia. Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) alimwamrisha bwana mmoja kuirudia swalah yake. Na ikiwa amefanya upungufu katika baadhi ya mambo katika yanayopendeza ambayo hayaiharibu, haidhuru. Lakini afunzwe njia kamilifu na wala haidhuru.
Swali: Vipi ikiwa amefanya makosa katika nguzo moja tu?
Jibu: Afunzwe na airudie.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/24239/ماذا-يفعل-من-اساء-في-صلاته-جاهلا
- Imechapishwa: 16/09/2024
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Click to print (Opens in new window) Print
- Click to email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Click to share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Click to share on X (Opens in new window) X
- Click to share on Pocket (Opens in new window) Pocket