Swali: Nikimuona mtu anazini na nikawa na mashahidi wanne na hakuna yeyote wa kumsimamishia adhabu lakini mimi nina uwezo wa kufanya hivo. Je, nimsimamishie adhabu?
Jibu: Hapana, hili ni jukumu la mamlaka. Subiri na utarajie malipo kutoka kwa Allaah. Hakuna jopo lenye nguvu linaloweza kujitetea.
- Muhusika: ´Allaamah Muqbil bin Haadiy al-Waadi´iy
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Qam´-ul-Mu´aanid, uk. 247
- Imechapishwa: 15/02/2025
Swali: Nikimuona mtu anazini na nikawa na mashahidi wanne na hakuna yeyote wa kumsimamishia adhabu lakini mimi nina uwezo wa kufanya hivo. Je, nimsimamishie adhabu?
Jibu: Hapana, hili ni jukumu la mamlaka. Subiri na utarajie malipo kutoka kwa Allaah. Hakuna jopo lenye nguvu linaloweza kujitetea.
Muhusika: ´Allaamah Muqbil bin Haadiy al-Waadi´iy
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Qam´-ul-Mu´aanid, uk. 247
Imechapishwa: 15/02/2025
https://firqatunnajia.com/nimuadhibu-mzinzi/