Swali: Nikimuona mtu anazini na mimi niko mwenyewe sina mashahidi wanne nifiche jambo hilo au nifanye nini?
Jibu: Ndio, kama tulivyotangulia kusema lifiche na umnasihi. Kwa mfano ikiwa ni mwanamke anayejulikana kwa uzinzi unaweza kwenda kwa mume wake na kumshauri atengane naye. Au ikiwa ni mwanamke anayetambulika kwa uzinzi unaweza kuwashauri watu wasimwache akaingia katika nyumba zao. Usitamke waziwazi. Ukisema waziwazi basi wewe mwenyewe ndiye ambaye utasimamishiwa adhabu.
- Muhusika: ´Allaamah Muqbil bin Haadiy al-Waadi´iy
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Qam´-ul-Mu´aanid, uk. 247-248
- Imechapishwa: 10/03/2025
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)