Swali: Ni yepi makusudio ya baraka ya daku iliyotajwa katika Hadiyth?
Jibu: Makusudio ya baraka ya daku ni ile baraka ya Kishari´ah na baraka ya kimwili.
Kuhusu baraka ya Kishari´ah ni kule mtu kutendea kazi maamrisho ya Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam).
Ama baraka ya kimwili ni kule kuupa mwili chakula na kuufanya kuwa na nguvu ya kufunga.
- Muhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawaa (19/362)
- Imechapishwa: 13/06/2017
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)