Swali: Ni wajibu kwa waislamu wote kuhifadhi Qur-aan moyoni?
Jibu: Hapana, sio wajibu. Lakini hata hivyo ndio bora zaidi. Kilicho cha wajibu ni kila mmoja kuhifadhi kile anachohitaji katika swalah zake. Ama zaidi ya hivo imependekezwa tu.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (67) http://alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/Ighastah22-05-1438h.mp3
- Imechapishwa: 18/10/2017
Swali: Ni wajibu kwa waislamu wote kuhifadhi Qur-aan moyoni?
Jibu: Hapana, sio wajibu. Lakini hata hivyo ndio bora zaidi. Kilicho cha wajibu ni kila mmoja kuhifadhi kile anachohitaji katika swalah zake. Ama zaidi ya hivo imependekezwa tu.
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (67) http://alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/Ighastah22-05-1438h.mp3
Imechapishwa: 18/10/2017
https://firqatunnajia.com/ni-wajibu-kwa-waislamu-wote-kuhifadhi-qur-aan/