Swali: Ni wajibu kwa waislamu wote kuhifadhi Qur-aan moyoni?
Jibu: Hapana, sio wajibu. Lakini hata hivyo ndio bora zaidi. Kilicho cha wajibu ni kila mmoja kuhifadhi kile anachohitaji katika swalah zake. Ama zaidi ya hivo imependekezwa tu.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (67) http://alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/Ighastah22-05-1438h.mp3
- Imechapishwa: 18/10/2017
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Click to print (Opens in new window) Print
- Click to email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Click to share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Click to share on X (Opens in new window) X
- Click to share on Pocket (Opens in new window) Pocket