Swali: Ni wajibu kwa mume kumtolea Zakaat-ul-Fitwr mke wake ambaye wana ugomvi mkali?
Jibu: Zakaat-ul-Fitwr inamlazimu kila mtu kivyake na kila yule ambaye ni wajibu kumhudumikia ambapo miongoni mwa hao anaingia mke. Kwa sababu ni wajibu kwake kumhudumikia. Kukiwa kuna migogoro mikali baina yao basi kunatakiwa kuhukumiwe. Ikiwa kutahukumiwa kuwa mke ndiye muasi na hivyo hakuna uwajibu wa kumpa matumizi, basi katika hali hiyo kutakuwa hakuna uwajibu wa kumtolea Zakaat-ul-Fitwr kwa sababu ni yenye kufuata matumizi yake. Hivyo Zakaat-ul-Fitwr inaanguka kwa kuanguka matumizi yake.
- Mhusika: al-Lajnah ad-Daaimah
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Fataawaa al-Lajnah ad-Daaimah (10/367-368)
- Imechapishwa: 23/06/2017
Swali: Ni wajibu kwa mume kumtolea Zakaat-ul-Fitwr mke wake ambaye wana ugomvi mkali?
Jibu: Zakaat-ul-Fitwr inamlazimu kila mtu kivyake na kila yule ambaye ni wajibu kumhudumikia ambapo miongoni mwa hao anaingia mke. Kwa sababu ni wajibu kwake kumhudumikia. Kukiwa kuna migogoro mikali baina yao basi kunatakiwa kuhukumiwe. Ikiwa kutahukumiwa kuwa mke ndiye muasi na hivyo hakuna uwajibu wa kumpa matumizi, basi katika hali hiyo kutakuwa hakuna uwajibu wa kumtolea Zakaat-ul-Fitwr kwa sababu ni yenye kufuata matumizi yake. Hivyo Zakaat-ul-Fitwr inaanguka kwa kuanguka matumizi yake.
Mhusika: al-Lajnah ad-Daaimah
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Fataawaa al-Lajnah ad-Daaimah (10/367-368)
Imechapishwa: 23/06/2017
https://firqatunnajia.com/ni-wajibu-kwa-mume-kumtolea-zakaat-ul-fitwr-mkewe-ambaye-wana-ugovmi-mkubwa/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)