Swali: Je, inajuzu kuwachukia watu wa Bid´ah katika Ummah huu na kuwachukia wafanya madhambi?
Jibu: Anasema inajuzu? Bali ni wajibu na si kwamba inajuzu. Ni wajibu. Ni wajibu kuwachukia kwa ajili ya Allaah. Kuwachukia makafiri, watu wa Bid´ah na kuwapenda waumini, hili ni jambo la wajibu. Ni wajibu kwako kuwapenda waumini na kuwachukia makafiri na watu wa Bid´ah. Uwachukie kwa ajili ya Allaah.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: http://subulsalam.com/play.php?catsmktba=12824
- Imechapishwa: 04/05/2015
Swali: Je, inajuzu kuwachukia watu wa Bid´ah katika Ummah huu na kuwachukia wafanya madhambi?
Jibu: Anasema inajuzu? Bali ni wajibu na si kwamba inajuzu. Ni wajibu. Ni wajibu kuwachukia kwa ajili ya Allaah. Kuwachukia makafiri, watu wa Bid´ah na kuwapenda waumini, hili ni jambo la wajibu. Ni wajibu kwako kuwapenda waumini na kuwachukia makafiri na watu wa Bid´ah. Uwachukie kwa ajili ya Allaah.
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: http://subulsalam.com/play.php?catsmktba=12824
Imechapishwa: 04/05/2015
https://firqatunnajia.com/ni-wajibu-kuwachukia-ahl-ul-bidah-na-wafanya-madhambi/