Swali: Je, inamlazimu mtu kulipa deni kabla ya kufanya ´Umrah?
Jibu: Kama ana uwezo wa kulilipa deni, basi afanye ´Umrah. Kama hana uwezo, aanze na deni kwa sababu deni ni wajibu na ´Umrah inapendeza. Mwenye kuwa na madeni, gharama za ´Umrah aziweke kwa baadhi ya wadai wake.
Mwanafunzi: Ikiwa mwenye kudai atampa muda?
Ibn Baaz: Ikiwa ni mwenye kudai aliye na mipaka, mtu mmoja au wawili, hakuna tatizo.
Mwanafunzi: Hukumu hiyohiyo inahusu hajj?
Ibn Baaz: Hukumu hiyohiyo inahusu hajj.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/30886/هل-يجب-قضاء-الدين-قبل-الحج-والعمرة
- Imechapishwa: 14/09/2025
Swali: Je, inamlazimu mtu kulipa deni kabla ya kufanya ´Umrah?
Jibu: Kama ana uwezo wa kulilipa deni, basi afanye ´Umrah. Kama hana uwezo, aanze na deni kwa sababu deni ni wajibu na ´Umrah inapendeza. Mwenye kuwa na madeni, gharama za ´Umrah aziweke kwa baadhi ya wadai wake.
Mwanafunzi: Ikiwa mwenye kudai atampa muda?
Ibn Baaz: Ikiwa ni mwenye kudai aliye na mipaka, mtu mmoja au wawili, hakuna tatizo.
Mwanafunzi: Hukumu hiyohiyo inahusu hajj?
Ibn Baaz: Hukumu hiyohiyo inahusu hajj.
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/30886/هل-يجب-قضاء-الدين-قبل-الحج-والعمرة
Imechapishwa: 14/09/2025
https://firqatunnajia.com/ni-wajibu-kulipa-deni-la-watu-kabla-ya-kufanya-umrah/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Click to print (Opens in new window) Print
- Click to email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Click to share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Click to share on X (Opens in new window) X
- Click to share on Pocket (Opens in new window) Pocket
