Swali: Je, Khutbah ya ndoa ni wajibu?
Jibu: Inapendeza. Kinachotambulika kwa wanazuoni ni kwamba inapendeza. Kwa ajili hiyo Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) alimuozesha Waahibah na hakutoa Khutbah.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/23847/هل-خطبة-النكاح-مستحبة-ام-واجبة
- Imechapishwa: 18/05/2024
Swali: Je, Khutbah ya ndoa ni wajibu?
Jibu: Inapendeza. Kinachotambulika kwa wanazuoni ni kwamba inapendeza. Kwa ajili hiyo Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) alimuozesha Waahibah na hakutoa Khutbah.
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/23847/هل-خطبة-النكاح-مستحبة-ام-واجبة
Imechapishwa: 18/05/2024
https://firqatunnajia.com/ni-wajibu-khutbah-ya-ndoa/