Swali: Ni ipi njia sahihi na iliyowekwa katika Shari´ah ya kupangusa juu ya soksi? Mtu anatakiwa kuzipangusa zote mbili kwa wakati mmoja au aanze kwanza na ya upande wa kulia kisha upande wa kushoto?
Jibu: Zote ni sawa. Muhimu ni yeye kuzipangusa zote mbili, kwa njia yoyote ambayo ni nyepesi kwake.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (83) http://alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/Ighastah-15-3-1439-01.mp3
- Imechapishwa: 11/02/2018
Swali: Ni ipi njia sahihi na iliyowekwa katika Shari´ah ya kupangusa juu ya soksi? Mtu anatakiwa kuzipangusa zote mbili kwa wakati mmoja au aanze kwanza na ya upande wa kulia kisha upande wa kushoto?
Jibu: Zote ni sawa. Muhimu ni yeye kuzipangusa zote mbili, kwa njia yoyote ambayo ni nyepesi kwake.
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (83) http://alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/Ighastah-15-3-1439-01.mp3
Imechapishwa: 11/02/2018
https://firqatunnajia.com/ni-vipi-soksi-zinapanguswa/