Swali: Makaburini kuna makaburi mawili yaliyo karibu. Ni vipi mtu atayaswalia baada ya kuzikwa? Je, kila limoja liswaliwe kivyake au mtu anuie kuyaswalia yote mawili kwa wakati mmoja?
Jibu: Ikiwa makaburi hayo mawili yako mbele ya mwenye kuswali ayaswalie swalah moja. Ikiwa kila limoja liko sehemu yake, basi kila limoja aliswalie swalah yake.
- Mhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawaa (17/160)
- Imechapishwa: 15/09/2021
Swali: Makaburini kuna makaburi mawili yaliyo karibu. Ni vipi mtu atayaswalia baada ya kuzikwa? Je, kila limoja liswaliwe kivyake au mtu anuie kuyaswalia yote mawili kwa wakati mmoja?
Jibu: Ikiwa makaburi hayo mawili yako mbele ya mwenye kuswali ayaswalie swalah moja. Ikiwa kila limoja liko sehemu yake, basi kila limoja aliswalie swalah yake.
Mhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawaa (17/160)
Imechapishwa: 15/09/2021
https://firqatunnajia.com/ni-vipi-namna-ya-kuyaswalia-makaburi-mawili-baada-ya-kuzikwa/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)