Swali 284: Nilimuuliza kuhusu ambaye anakusanya kati ya ´Ishaa na Maghrib na kama jambo la kukusanya ni maalum kwa ajili ya swalah hizo mbili?
Jibu: Kuna maoni yanayosema hivo, kutokana na kwamba uzito unakuwa mkubwa zaidi. Sahihi ni kwamba inahusu vilevile Dhuhr na ´Aswr.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Marejeo: Masaa-il-ul-Imaam Ibn Baaz, uk. 102
- Imechapishwa: 17/05/2025
- Mkusanyaji: Shaykh Abiy Muhammad ´Abdullaah bin Maaniy´
Swali 284: Nilimuuliza kuhusu ambaye anakusanya kati ya ´Ishaa na Maghrib na kama jambo la kukusanya ni maalum kwa ajili ya swalah hizo mbili?
Jibu: Kuna maoni yanayosema hivo, kutokana na kwamba uzito unakuwa mkubwa zaidi. Sahihi ni kwamba inahusu vilevile Dhuhr na ´Aswr.
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Marejeo: Masaa-il-ul-Imaam Ibn Baaz, uk. 102
Imechapishwa: 17/05/2025
Mkusanyaji: Shaykh Abiy Muhammad ´Abdullaah bin Maaniy´
https://firqatunnajia.com/ni-swalah-zipi-ambazo-watu-wanafaa-kukusanya-msikitini-wakati-wa-mvua/