Swali 284: Nilimuuliza kuhusu ambaye anakusanya kati ya ´Ishaa na Maghrib na kama jambo la kukusanya ni maalum kwa ajili ya swalah hizo mbili?
Jibu: Kuna maoni yanayosema hivo, kutokana na kwamba uzito unakuwa mkubwa zaidi. Sahihi ni kwamba inahusu vilevile Dhuhr na ´Aswr.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Marejeo: Masaa-il-ul-Imaam Ibn Baaz, uk. 102
- Imechapishwa: 17/05/2025
- Mkusanyaji: Shaykh Abiy Muhammad ´Abdullaah bin Maaniy´
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Click to print (Opens in new window) Print
- Click to email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Click to share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Click to share on X (Opens in new window) X
- Click to share on Pocket (Opens in new window) Pocket