Swali: Vipi kuhusu mwanamke anayetaka kusafiri peke yake bila ya Mahram kutoka nchi ya kikafiri kwenda nchi ya Kiislamu?
Jibu: Hapana vibaya ikiwa ni mwenye kuhajiri kutokana na dharurah. Asafiri pamoja na watu waaminifu.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/24522/حكم-المحرم-للمراة-في-سفرها-من-بلاد-الكفر
- Imechapishwa: 24/10/2024
Swali: Vipi kuhusu mwanamke anayetaka kusafiri peke yake bila ya Mahram kutoka nchi ya kikafiri kwenda nchi ya Kiislamu?
Jibu: Hapana vibaya ikiwa ni mwenye kuhajiri kutokana na dharurah. Asafiri pamoja na watu waaminifu.
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/24522/حكم-المحرم-للمراة-في-سفرها-من-بلاد-الكفر
Imechapishwa: 24/10/2024
https://firqatunnajia.com/ni-sawa-mwanamke-kuhajiri-peke-yake/