Swali: Picha iliyoko kwenye simu inaingia ndani ya maneno yake Mtume (Swalla Allaah ´alayhi wa sallam):
“Malaika hawaingii katika nyumba ilio na mbwa au picha”?
Jibu: Hadiyth inalenga picha iliowekwa wazi au iliyotundikwa. Kuhusu picha ambayo imefichikana na haionekani haiingii ndani ya hukumu hii.
Lakini hata hivyo haijuzu kutumia simu ilio na camera. Ni kifaa cha picha. Haifai kununua kifaa cha picha na kukihifadhi. Badala yake ni wajibu kukivunja. Kwa kuwa ni kifaa cha shari.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: al-Furqaan (11) http://alfawzan.af.org.sa/node/2054
- Imechapishwa: 15/02/2017
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)
Related
Haijuzu kuhifadhi picha kwenye kifaa chochote
Swali: Kuhifadhi picha za viumbe wenye roho na picha zilizopigwa kwa njia ya simu kwenye simu hiyo hiyo kunaingia katika uharamu? Jibu: Ndio, kunaingia katika uharamu. Kila kinachohifadhi picha na kukibakiza basi ni haramu; sawa ikiwa ni kwa njia ya simu, karatasi au ukuta. Vyote hivyo ni picha za haramu. Amelaaniwa…
In "al-Fawzaan kuhusu picha"
Malaika wanajiepusha kuingia nyumba kama hizi
Swali: Je, tunaweza kusema kwamba nyumba ambayo iko na kifaa cha dishi/king´amuzi du´aa haikubaliwi na Malaika hawaingii ndani yake? Jibu: Inakhofiwa wakazuiliwa Malaika kuingia ndani ikiwa ndani yake kuna king´amuzi kinachoeneza maovu na maharibifu. Hapana shaka kwamba Malaika ni wenye kukimbia mambo hayo.
In "Kuamini Malaika"
Kuhifadhi picha za jamaa waliokufa
Swali: Muheshimiwa Shaykh Muhammad bin Swaalih al-´Uthaymiyn السلام عليكم و رحمة الله و بركاته Baba yangu alikufa sasa kwa karibu miaka arobaini iliopita. Nimepata khabari kwamba mmoja katika ndugu zake anayo picha yake ya kamera na baadhi ya jamaa zake wameruhusu kubaki na picha hiyo kwa lengo la kumbukumbu. Baadhi…
In "Ibn ´Uthaymiyn kuhusu picha"