Swali: Maneno yake (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) aliposema:
”Usengenyi ni kumtaja ndugu yako kwa jambo analochukia.”
Je, hili linajumuisha kumsema wakati yupo au wakati hayupo ikiwa hayupo?
Jibu: Hapana, hii ni kumtaja katika hali ya kutokuwepo kwake. Ama akiwa mbele yake, basi hilo ni jambo kati yao wawili. Kwa maana ni kule mtu kumtaja mwenzake kwa mabaya mbele ya watu akiwa hayupo.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/25214/هل-تقع-الغيبة-في-حق-من-كان-حاضرا
- Imechapishwa: 22/02/2025
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)