Swali: Ukafiri wa wanasekula ni mkubwa?
Jibu: Wanasekula hawaamini dini. Wao wameegemea ulimwengu tu. Hawamwamini Allaah na siku ya Mwisho. Huyu ndiye mwanasekula ambaye analingania kuwafuata walimwengu na wawe na wawe juu ya maoni ya walimwengu katika shirki, upotofu na ukhurafi wao.
Swali: Wanasema kutenganisha dini na nchi?
Jibu: Hii ndio maana kwamba hawana dini. Wanalingania katika kufuata ulimwengu unavoenda.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/24505/ما-معنى-العلمانية-وحكم-المنتسبين-اليها
- Imechapishwa: 19/10/2024
Swali: Ukafiri wa wanasekula ni mkubwa?
Jibu: Wanasekula hawaamini dini. Wao wameegemea ulimwengu tu. Hawamwamini Allaah na siku ya Mwisho. Huyu ndiye mwanasekula ambaye analingania kuwafuata walimwengu na wawe na wawe juu ya maoni ya walimwengu katika shirki, upotofu na ukhurafi wao.
Swali: Wanasema kutenganisha dini na nchi?
Jibu: Hii ndio maana kwamba hawana dini. Wanalingania katika kufuata ulimwengu unavoenda.
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/24505/ما-معنى-العلمانية-وحكم-المنتسبين-اليها
Imechapishwa: 19/10/2024
https://firqatunnajia.com/ni-nani-mwanasekula/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Click to print (Opens in new window) Print
- Click to email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Click to share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Click to share on X (Opens in new window) X
- Click to share on Pocket (Opens in new window) Pocket
