Swali: Mtu anampa mfanya biashara kiwango fulani cha pesa ili aziwekeze katika biashara. Je, yule mfanya biashara ndiye anayeamua faida au ni kitu ambacho wote wawili wanatakiwa kukubaliana?
Jibu: Kile ambacho watakubaliana wakihitimisha mkataba ndicho kitachofanya kazi. Hapo ndipo watakubaliana faida.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (30)
- Imechapishwa: 19/02/2022
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)