Swali: Mtu anampa mfanya biashara kiwango fulani cha pesa ili aziwekeze katika biashara. Je, yule mfanya biashara ndiye anayeamua faida au ni kitu ambacho wote wawili wanatakiwa kukubaliana?
Jibu: Kile ambacho watakubaliana wakihitimisha mkataba ndicho kitachofanya kazi. Hapo ndipo watakubaliana faida.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (30)
- Imechapishwa: 19/02/2022
Swali: Mtu anampa mfanya biashara kiwango fulani cha pesa ili aziwekeze katika biashara. Je, yule mfanya biashara ndiye anayeamua faida au ni kitu ambacho wote wawili wanatakiwa kukubaliana?
Jibu: Kile ambacho watakubaliana wakihitimisha mkataba ndicho kitachofanya kazi. Hapo ndipo watakubaliana faida.
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (30)
Imechapishwa: 19/02/2022
https://firqatunnajia.com/ni-nani-anayeamua-faida/