Swali: Mwenye kuwakufurisha watawala na anawataka waislamu wawafanyie uasi watawala ni katika Khawaarij?
Jibu: Haya ndio madhehebu ya Khawaarij. Kama anaona kufaa kufanya uasi dhidi ya watawala wa waislamu, na baya zaidi akawakufurisha, haya ndio madhehebu ya Khawaarij.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Nawaaqidhl-il-Islaam, uk. 174 http://ajurry.com/safrawy/chorohat-elakida/chorohat-nawakid-elislam/charh-salah-fawzan/08.mp3
- Imechapishwa: 18/02/2019
Swali: Mwenye kuwakufurisha watawala na anawataka waislamu wawafanyie uasi watawala ni katika Khawaarij?
Jibu: Haya ndio madhehebu ya Khawaarij. Kama anaona kufaa kufanya uasi dhidi ya watawala wa waislamu, na baya zaidi akawakufurisha, haya ndio madhehebu ya Khawaarij.
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Nawaaqidhl-il-Islaam, uk. 174 http://ajurry.com/safrawy/chorohat-elakida/chorohat-nawakid-elislam/charh-salah-fawzan/08.mp3
Imechapishwa: 18/02/2019
https://firqatunnajia.com/ni-mfumo-wa-khawaarij-ii/