Swali: Je, mayahudi na manaswara walioipotosha Tawraat na Injiyl wanazingatiwa kuwa ni Ahl-ul-Kitaab?
Jibu: Ndio. Mwenye kujinasibisha na manaswara basi huyo ni mnaswara na mwenye kujinasibisha na mayahudi huyo ni myahudi – mpaka pale kitaposimama Qiyaamah.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (50) https://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/Umdah%20Fiqh-06-05-1437.mp3
- Imechapishwa: 15/02/2019
Swali: Je, mayahudi na manaswara walioipotosha Tawraat na Injiyl wanazingatiwa kuwa ni Ahl-ul-Kitaab?
Jibu: Ndio. Mwenye kujinasibisha na manaswara basi huyo ni mnaswara na mwenye kujinasibisha na mayahudi huyo ni myahudi – mpaka pale kitaposimama Qiyaamah.
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (50) https://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/Umdah%20Fiqh-06-05-1437.mp3
Imechapishwa: 15/02/2019
https://firqatunnajia.com/ni-mayahudi-na-manaswara/