Swali: Wakati mtu anapokusanya kati ya swalah ya Maghrib na ´Ishaa asome Adhkaar za Maghrib kati ya swalah hizo mbili halafu asimame kuswali na kusoma Adhkaar za ´Ishaa?
Jibu: Hapana. Aswali zote mbili kwanza kisha ndio asome Adhkaar baada ile swalah ya pili.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (67) http://alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/Ighastah22-05-1438h.mp3
- Imechapishwa: 18/10/2017
Swali: Wakati mtu anapokusanya kati ya swalah ya Maghrib na ´Ishaa asome Adhkaar za Maghrib kati ya swalah hizo mbili halafu asimame kuswali na kusoma Adhkaar za ´Ishaa?
Jibu: Hapana. Aswali zote mbili kwanza kisha ndio asome Adhkaar baada ile swalah ya pili.
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (67) http://alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/Ighastah22-05-1438h.mp3
Imechapishwa: 18/10/2017
https://firqatunnajia.com/ni-lini-msafiri-analeta-adhkaar-anapokusanya-swalah-mbili/