Swali: Je, inafaa kuchelewesha kumkataza mtu ambaye ametumbukia kwa mfano ndani ya shirki, ukafiri au haramu nyingine ili kufikia manufaa fulani au kuepuka madhara yaliyo makubwa zaidi?
Jibu: Allaah (Ta´ala) amesema:
ادْعُ إِلِى سَبِيلِ رَبِّكَ بِالْحِكْمَةِ
“Lingania katika njia ya Mola wako kwa hekima.”[1]
Ni lazima kuwa mwenye hekima. Ikiwa mtu anaona kuwa bora ni kusubiri kidogo na asianze kumkataza, kufanya hivo ni vizuri.
[1] 16:125
- Muhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Liqaa’ al-Baab al-Maftuuh (7 A)
- Imechapishwa: 10/06/2021
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)