Swali 208: Hadiyth isemayo:
“Swalah ilifaradhishwa Rak´ah mbili, basi ikathibiti swalah ya Fajr.”
Je, hili linafahamisha juu ya ulazima wa kufupisha?
Jibu: Hapana, kwa sababu ‘Uthmaan aliswali kwa kukamilisha na Maswahabah wakamkubalia.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Masaa-il-ul-Imaam Ibn Baaz, uk. 88
- Imechapishwa: 01/05/2025
- Mkusanyaji: Shaykh Abiy Muhammad ´Abdullaah bin Maaniy´
Swali 208: Hadiyth isemayo:
“Swalah ilifaradhishwa Rak´ah mbili, basi ikathibiti swalah ya Fajr.”
Je, hili linafahamisha juu ya ulazima wa kufupisha?
Jibu: Hapana, kwa sababu ‘Uthmaan aliswali kwa kukamilisha na Maswahabah wakamkubalia.
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Masaa-il-ul-Imaam Ibn Baaz, uk. 88
Imechapishwa: 01/05/2025
Mkusanyaji: Shaykh Abiy Muhammad ´Abdullaah bin Maaniy´
https://firqatunnajia.com/ni-lazima-msafiri-kuswali-kwa-kufupisha/