Swali: Je, ni lazima kwa mwanamme kumuitikia mwanamke anapomwita [kitandani]?
Jibu: Anatakiwa kujitahidi kumuhifadhi na machafu. Lakini si lazima kwake kumtii. Lakini anatakiwa kujitahidi kumuhifadhi na machafu ili asije kutumbukia katika yanayochukiza.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/21662/اذا-دعت-المراة-زوجها-فهل-عليه-طاعتها
- Imechapishwa: 10/09/2022
Swali: Je, ni lazima kwa mwanamme kumuitikia mwanamke anapomwita [kitandani]?
Jibu: Anatakiwa kujitahidi kumuhifadhi na machafu. Lakini si lazima kwake kumtii. Lakini anatakiwa kujitahidi kumuhifadhi na machafu ili asije kutumbukia katika yanayochukiza.
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/21662/اذا-دعت-المراة-زوجها-فهل-عليه-طاعتها
Imechapishwa: 10/09/2022
https://firqatunnajia.com/ni-lazima-kwa-mume-kumuitikia-mke-anapomwita-kitandani/