Swali: Je, ni lazima kutoa kafara ya kiapo papo hapo? Je, mtu anapata dhambi kwa kuichelewesha?
Jibu: Ndio. Ni lazima kuitoa papo hapo ndio dhimma yake inatakasika kwa kufanya hivo. Lakini akiwa na udhuru kwa mfano hana uwezo au yuko mahali ambapo hakuna mafukara; katika hali hiyo anaruhusiwa kuichelewesha.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (42)
- Imechapishwa: 28/06/2024
Swali: Je, ni lazima kutoa kafara ya kiapo papo hapo? Je, mtu anapata dhambi kwa kuichelewesha?
Jibu: Ndio. Ni lazima kuitoa papo hapo ndio dhimma yake inatakasika kwa kufanya hivo. Lakini akiwa na udhuru kwa mfano hana uwezo au yuko mahali ambapo hakuna mafukara; katika hali hiyo anaruhusiwa kuichelewesha.
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (42)
Imechapishwa: 28/06/2024
https://firqatunnajia.com/ni-lazima-kutoa-kafara-ya-kiapo-papo-hapo/