Swali: Je, ni lazima kutoa kafara ya kiapo papo hapo? Je, mtu anapata dhambi kwa kuichelewesha?

Jibu: Ndio. Ni lazima kuitoa papo hapo ndio dhimma yake inatakasika kwa kufanya hivo. Lakini akiwa na udhuru kwa mfano hana uwezo au yuko mahali ambapo hakuna mafukara; katika hali hiyo anaruhusiwa kuichelewesha.

  • Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
  • Mfasiri: Firqatunnajia.com
  • Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (42)
  • Imechapishwa: 28/06/2024