Swali: Je, ni wajibu kwa mke kumtii mume wake katika kuoa juu yake mke wa pili pamoja na kujua ya kwamba anashurutisha awe ni mwenye umri mdogo na mzuri na mke wa kwanza ndio amsimamie katika kumuoea?
Jibu: Anayoweza mume kumuomba mke wake ni mambo aina mbili:
1- Mambo ambayo Allaah kamuwajibishia mke. Miongoni mwa mambo hayo ni kushughulikia kazi za nyumbani, kumsaidia kumtazamia na kumlelea watoto, kufanya nae jimaa, kujisitiri wakati mume hayupo na kusaidia katika mambo ambayo yatatengeneza hali zao katika uwepo wa mume.
2- Mambo ambayo sio lazima juu yake mke. Miongoni mwa hayo, ni yalokuja katika swali hili. Sio lazima kwake mke kutii jambo lake wakati anapotaka kuoa mwanamke mwingine. Akijitolea na akafanya hivyo, hakuna neno. Akikataa, si juu ya mume kumlazimisha mke kwalo.
- Mhusika: Shaykh ´Ubayd bin ´Abdillaah al-Jaabiriy
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: http://ar.miraath.net/fatwah/2978
- Imechapishwa: 20/09/2020
Swali: Je, ni wajibu kwa mke kumtii mume wake katika kuoa juu yake mke wa pili pamoja na kujua ya kwamba anashurutisha awe ni mwenye umri mdogo na mzuri na mke wa kwanza ndio amsimamie katika kumuoea?
Jibu: Anayoweza mume kumuomba mke wake ni mambo aina mbili:
1- Mambo ambayo Allaah kamuwajibishia mke. Miongoni mwa mambo hayo ni kushughulikia kazi za nyumbani, kumsaidia kumtazamia na kumlelea watoto, kufanya nae jimaa, kujisitiri wakati mume hayupo na kusaidia katika mambo ambayo yatatengeneza hali zao katika uwepo wa mume.
2- Mambo ambayo sio lazima juu yake mke. Miongoni mwa hayo, ni yalokuja katika swali hili. Sio lazima kwake mke kutii jambo lake wakati anapotaka kuoa mwanamke mwingine. Akijitolea na akafanya hivyo, hakuna neno. Akikataa, si juu ya mume kumlazimisha mke kwalo.
Mhusika: Shaykh ´Ubayd bin ´Abdillaah al-Jaabiriy
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: http://ar.miraath.net/fatwah/2978
Imechapishwa: 20/09/2020
https://firqatunnajia.com/ni-lazima-kumsaidia-mume-wangu-katika-kutaka-kuongeza-mke-mwingine/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)