Swali: Nilimuuliza Shaykh wetu kuhusu mtu aliyefungua swawm ya kujitolea inapendeza ailipe?
Jibu: Udhahiri wa Hadiyth ya Juwayriyyah ni kwamba hakumwamuru ailipe.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Masaa-il-ul-Imaam Ibn Baaz, uk. 126
- Imechapishwa: 04/03/2025
- Mkusanyaji: Shaykh Abiy Muhammad ´Abdullaah bin Maaniy´
Swali: Nilimuuliza Shaykh wetu kuhusu mtu aliyefungua swawm ya kujitolea inapendeza ailipe?
Jibu: Udhahiri wa Hadiyth ya Juwayriyyah ni kwamba hakumwamuru ailipe.
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Masaa-il-ul-Imaam Ibn Baaz, uk. 126
Imechapishwa: 04/03/2025
Mkusanyaji: Shaykh Abiy Muhammad ´Abdullaah bin Maaniy´
https://firqatunnajia.com/ni-lazima-kulipa-swawm-ya-sunnah-ambayo-mtu-kaifungua/