Swali: Je, kuhudhuria Khutbah ya ijumaa ni wajibu?
Jibu: Ndiyo, ikiwa itawezekana.
Swali: Je, mtu hawezi kuwa na dhambi kwa kuacha baadhi yake kama vile swalah ya mkusanyiko?
Jibu: Kinachodhihirika kwangu ni kwamba ni lazima mtu ahudhurie, kwa sababu Allaah ameweka katika Shari´ah Khutbah ili watu wanufaike, wajifunze na wapate faida siku ya ijumaa.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/31568/هل-ياثم-من-يتاخر-عن-خطبة-الجمعة
- Imechapishwa: 06/11/2025
Swali: Je, kuhudhuria Khutbah ya ijumaa ni wajibu?
Jibu: Ndiyo, ikiwa itawezekana.
Swali: Je, mtu hawezi kuwa na dhambi kwa kuacha baadhi yake kama vile swalah ya mkusanyiko?
Jibu: Kinachodhihirika kwangu ni kwamba ni lazima mtu ahudhurie, kwa sababu Allaah ameweka katika Shari´ah Khutbah ili watu wanufaike, wajifunze na wapate faida siku ya ijumaa.
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/31568/هل-ياثم-من-يتاخر-عن-خطبة-الجمعة
Imechapishwa: 06/11/2025
https://firqatunnajia.com/ni-lazima-kuhudhuria-khutbah-ya-ijumaa/