Swali: Ni lazima kwa mtu kuelekea Qiblah akiswali ndani ya ndege?
Jibu: Ndio. Ndani ya ndege kuna nafasi ya kusimama na kuelekea Qiblah; mahali pa kutokea, sehemu ya kupitia katikati ya viti:
فَاتَّقُوا اللَّـهَ مَا اسْتَطَعْتُمْ
“Basi mcheni Allaah muwezavyo.” (64:16)
Ikiwa hawezi aswali kadri na anavyoweza.
Ikiwa ndege inadema mwishoni mwa wakati wa swalah, aicheleweshe swalah mpaka pale ndege itapodema na aswali pale atapodema. Ikiwa swalah ni katika zile ambazo hazijuzu kuijumuisha na ilio ya baada yake, aswali kadri na hali yake.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (42) http://alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/ighastah%20%20-%2011%20-%201%20-%201437.mp3
- Imechapishwa: 14/03/2017
Swali: Ni lazima kwa mtu kuelekea Qiblah akiswali ndani ya ndege?
Jibu: Ndio. Ndani ya ndege kuna nafasi ya kusimama na kuelekea Qiblah; mahali pa kutokea, sehemu ya kupitia katikati ya viti:
فَاتَّقُوا اللَّـهَ مَا اسْتَطَعْتُمْ
“Basi mcheni Allaah muwezavyo.” (64:16)
Ikiwa hawezi aswali kadri na anavyoweza.
Ikiwa ndege inadema mwishoni mwa wakati wa swalah, aicheleweshe swalah mpaka pale ndege itapodema na aswali pale atapodema. Ikiwa swalah ni katika zile ambazo hazijuzu kuijumuisha na ilio ya baada yake, aswali kadri na hali yake.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (42) http://alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/ighastah%20%20-%2011%20-%201%20-%201437.mp3
Imechapishwa: 14/03/2017
https://firqatunnajia.com/ni-lazima-kuelekea-qiblah-kwa-mwenye-kuswali-ndani-ya-ndege/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)