Swali: Kuna mtu alikopa 100.000 SAR kutoka benki na atalipa deni hilo kwa ribaa ya 20% ambapo baadaye atalipa 120.000 SAR. Ni ipi hukumu ya mkopo huu?
Jibu: Ni kwa nini anauliza baada ya kuwa amekwishakopa. Je, anataka kukwepa kulipa? Si sawa kufanya hivo. Anatakiwa kulipa deni, apate dhambi na ahakikishe harudi tena kufanya kitendo kama hicho.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (19) https://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/umdtfq-22011435-01.mp3
- Imechapishwa: 20/12/2019
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Click to print (Opens in new window) Print
- Click to email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Click to share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Click to share on X (Opens in new window) X
- Click to share on Pocket (Opens in new window) Pocket