Swali: Ni marejeo yepi mazuri kwa anayetaka kujua sifa ya Hajj na ´Umrah?
Jibu: Tungo zilizotungwa na wanachuoni waaminifu kuhusu namna ya kutekeleza ´ibaadah ya hajj na ´Umrah ni nyingi. Hadiyth iliyokusanya kuhusu namna ya hajj ni ile ya Jaabir bin ´Abdillaah (Radhiya Allaahu ´anh). Hakika ametaja namna ya sifa ya Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) kuanzia alipotoka al-Madiynah mpaka ile siku ya ´Iyd kwa upambanuzi. Hakika ni Hadiyth imekuja kwa njia ya jumla lakini imekusanya.
- Muhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: al-Liqaa´ ash-Shahriy (61) http://binothaimeen.net/content/1414
- Imechapishwa: 20/12/2019
Swali: Ni marejeo yepi mazuri kwa anayetaka kujua sifa ya Hajj na ´Umrah?
Jibu: Tungo zilizotungwa na wanachuoni waaminifu kuhusu namna ya kutekeleza ´ibaadah ya hajj na ´Umrah ni nyingi. Hadiyth iliyokusanya kuhusu namna ya hajj ni ile ya Jaabir bin ´Abdillaah (Radhiya Allaahu ´anh). Hakika ametaja namna ya sifa ya Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) kuanzia alipotoka al-Madiynah mpaka ile siku ya ´Iyd kwa upambanuzi. Hakika ni Hadiyth imekuja kwa njia ya jumla lakini imekusanya.
Muhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: al-Liqaa´ ash-Shahriy (61) http://binothaimeen.net/content/1414
Imechapishwa: 20/12/2019
https://firqatunnajia.com/marejeo-kuhusu-namna-ya-kuhiji-kwa-mujibu-wa-ibn-uthaymiyn/