Swali: Kuna wanaopinga Shari´ah ya mzinifu kupigwa mawe…
Jibu: Mwenye kupingwa mzinifu kupigwa mawe ni mwenye kuritadi katika Uislamu. Ni jambo limepokelewa kwa mapokezi mengi katika Sunnah na limetajwa pia katika Qur-aan:
الشيخ والشيخة إذا زنيا فارجموهما البتة نكالاً من الله والله عزيز حكيم
”Mzee mwanaume na mzee mwanamke wakizini basi wapigeni mawe. Ndio adhabu ya kupigiwa mfano kutoka kwa Allaah. Allaah ni Mwenye nguvu kabisa, Mwenye hekima.”
Kisomo cha Aayah hii kilifutwa. Lakini hata hivyo hukumu yake imebaki.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (64) http://alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/Ighatsah%2019-03-1438H.mp3%2001.mp3
- Imechapishwa: 09/10/2017
Swali: Kuna wanaopinga Shari´ah ya mzinifu kupigwa mawe…
Jibu: Mwenye kupingwa mzinifu kupigwa mawe ni mwenye kuritadi katika Uislamu. Ni jambo limepokelewa kwa mapokezi mengi katika Sunnah na limetajwa pia katika Qur-aan:
الشيخ والشيخة إذا زنيا فارجموهما البتة نكالاً من الله والله عزيز حكيم
”Mzee mwanaume na mzee mwanamke wakizini basi wapigeni mawe. Ndio adhabu ya kupigiwa mfano kutoka kwa Allaah. Allaah ni Mwenye nguvu kabisa, Mwenye hekima.”
Kisomo cha Aayah hii kilifutwa. Lakini hata hivyo hukumu yake imebaki.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (64) http://alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/Ighatsah%2019-03-1438H.mp3%2001.mp3
Imechapishwa: 09/10/2017
https://firqatunnajia.com/ni-kwanini-asikufurishwe-anayepinga-shariah-kupigwa-mawe-mzinifu/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)