Swali: Ni kina nani mawalii?
Jibu: Ni waumini. Na nyinyi – Allaah akitaka – ni katika wao. Allaah atujaalie sisi sote kuwa miongoni mwao. Kila mwenye kumtii Allaah na Mtume Wake (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) na akanyooka juu ya haki basi ni walii wa Allaah. Tunamuomba Allaah atujaalie sote kuwa miongoni mwao.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Kashf-ish-Shubuhaat, uk. 40
- Imechapishwa: 15/06/2019
Swali: Ni kina nani mawalii?
Jibu: Ni waumini. Na nyinyi – Allaah akitaka – ni katika wao. Allaah atujaalie sisi sote kuwa miongoni mwao. Kila mwenye kumtii Allaah na Mtume Wake (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) na akanyooka juu ya haki basi ni walii wa Allaah. Tunamuomba Allaah atujaalie sote kuwa miongoni mwao.
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Kashf-ish-Shubuhaat, uk. 40
Imechapishwa: 15/06/2019
https://firqatunnajia.com/ni-kina-nani-mawalii/