Swali: Je, ni katika mfumo wa Salaf kuwajaribu watu kwa watu wengine?
Jibu: Ndio, ni katika mfumo wa Salaf kumjaribu mtu ambaye kuna mashaka juu yake kutoka kwa watu wa Ahl-us-Sunnah ambaye anamtambua:
”Unasemaje juu ya mtu fulani na fulani?”
Akimzungumza kwa wema na akamsifu kwa undani na kwa uinje, basi mtu huyo sio katika wapotofu wala Ahl-ul-Bid´ah. Lakini akiwasema kwa ubaya au akajibu kiujanja-ujanja na akasema kuwa hamtambui ilihali ukweli wa mambo ni kwamba anamtambua, basi mtu atatambua kuwa si mwenye kufuata mfumo wa Salaf, Ahl-us-Sunnah wal-Jamaa´ah. Inafaa kuwapa watu mtihani kwa kuwatumia watu wengine wakati kuna haja ya kufanya hivo.
- Muhusika: ´Allaamah Zayd bin Muhammad al-Madkhaliy
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: http://sahab.net/forums/showthread.php?t=379513
- Imechapishwa: 28/11/2020
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)