Swali: Je, inafa kumfanyia ´Umrah mama yangu ambaye ana zaidi ya miaka sitini na tano na mimi hivi sasa nimekwishatekeleza ile hajj ya kwanza ambayo ni faradhi mwaka huu?
Jibu: Akiwa si muweza wa kuhiji kutokana na utuuzima wake, kutokuwa kwake na uwezo kwa sababu ya maradhi yaliyompata au uzee uliyomkwamisha, basi hakuna neno. Itakuwa haifai kumkalia niaba ikiwa anaweza kutokana na afya yake njema; si katika Hajj wala katika ´Umrah. Kwa sababu ruhusa imepokolewa juu ya yule ambaye ameshindwa kutokana na utuuzima wake.
- Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Fataawaad-ud-Duruus https://binbaz.org.sa/fatwas/4719/%D8%AD%D9%83%D9%85-%D8%A7%D8%AF%D8%A7%D8%A1-%D8%A7%D9%84%D8%B9%D9%85%D8%B1%D8%A9-%D8%B9%D9%86-%D8%A7%D9%84%D8%B9%D8%A7%D8%AC%D8%B2-%D9%88%D9%83%D8%A8%D9%8A%D8%B1-%D8%A7%D9%84%D8%B3%D9%86
- Imechapishwa: 29/11/2020
Swali: Je, inafa kumfanyia ´Umrah mama yangu ambaye ana zaidi ya miaka sitini na tano na mimi hivi sasa nimekwishatekeleza ile hajj ya kwanza ambayo ni faradhi mwaka huu?
Jibu: Akiwa si muweza wa kuhiji kutokana na utuuzima wake, kutokuwa kwake na uwezo kwa sababu ya maradhi yaliyompata au uzee uliyomkwamisha, basi hakuna neno. Itakuwa haifai kumkalia niaba ikiwa anaweza kutokana na afya yake njema; si katika Hajj wala katika ´Umrah. Kwa sababu ruhusa imepokolewa juu ya yule ambaye ameshindwa kutokana na utuuzima wake.
Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Fataawaad-ud-Duruus https://binbaz.org.sa/fatwas/4719/%D8%AD%D9%83%D9%85-%D8%A7%D8%AF%D8%A7%D8%A1-%D8%A7%D9%84%D8%B9%D9%85%D8%B1%D8%A9-%D8%B9%D9%86-%D8%A7%D9%84%D8%B9%D8%A7%D8%AC%D8%B2-%D9%88%D9%83%D8%A8%D9%8A%D8%B1-%D8%A7%D9%84%D8%B3%D9%86
Imechapishwa: 29/11/2020
https://firqatunnajia.com/kumfanyia-umrah-mzazi-mzee-asiyeweza/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)