107 – Mtu mmoja alimuuliza Shaykh wetu kuhusu mikojo ya ngamia?
Jibu: Ni safi kama maziwa yake.
Muulizaji akauliza kama mkojo wake unasafisha hadathi?
Jibu: Hapana, hadathi inaondolewa kwa maji.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Masaa-il-ul-Imaam Ibn Baaz, uk. 60
- Imechapishwa: 15/03/2025
- Mkusanyaji: Shaykh Abiy Muhammad ´Abdullaah bin Maaniy´
107 – Mtu mmoja alimuuliza Shaykh wetu kuhusu mikojo ya ngamia?
Jibu: Ni safi kama maziwa yake.
Muulizaji akauliza kama mkojo wake unasafisha hadathi?
Jibu: Hapana, hadathi inaondolewa kwa maji.
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Masaa-il-ul-Imaam Ibn Baaz, uk. 60
Imechapishwa: 15/03/2025
Mkusanyaji: Shaykh Abiy Muhammad ´Abdullaah bin Maaniy´
https://firqatunnajia.com/ni-kama-maziwa-yake/