Swali: Je, ni sahihi kuwa swalah ya ambaye anaswali katika safu peke yake ni batili?
Jibu: Ndio. Ni sahihi. Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) alimuona mwanaume anaswali peke yake nyuma ya safu ambapo akamuamrisha kuirudi swalah yake na akasema:
“Swalah ya anayeswali peke yake nyuma ya safu si sahihi.”
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (71) http://alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/Ighastah26-07-1438h%20-%20Copy.mp3
- Imechapishwa: 19/08/2017
Swali: Je, ni sahihi kuwa swalah ya ambaye anaswali katika safu peke yake ni batili?
Jibu: Ndio. Ni sahihi. Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) alimuona mwanaume anaswali peke yake nyuma ya safu ambapo akamuamrisha kuirudi swalah yake na akasema:
“Swalah ya anayeswali peke yake nyuma ya safu si sahihi.”
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (71) http://alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/Ighastah26-07-1438h%20-%20Copy.mp3
Imechapishwa: 19/08/2017
https://firqatunnajia.com/ni-ipi-hukumu-ya-swalah-ya-mwanaume-anayeswali-peke-yake-nyuma-ya-safu/